MISTARI YA WIMBO HUU
Nina haja nawe ,
Kila saa ;
Hawezi mwingine, kunifaa.
Nina haja nawe;
Kaa nami,
Na maonjo haya,
Hayaumi.
Yesu,
Nakuhitaji,
Vivyo kila saa!
Niwezeshe, mwokozi,
Nakujia.
Yesu,
Nakuhitaji,
Vivyo kila saa!
Niwezeshe, mwokozi,
Nakujia.
Nina haja nawe;
Kila hali,
Maisha ni bure,
Uli mbali.
Nina haja nawe;
Nifundishe,
Na ahadi zako,
Zifikishe.
Yesu,
Nakuhitaji,
Vivyo kila saa!
Niwezeshe,
Mwokozi, Nakujia.
Yesu,
Nakuhitaji,
Vivyo kila saa!
Niwezeshe,
Mwokozi, Nakujia.
Nina haja nawe;
Mweza yote;
Ni wako kabisa, Siku zote.
Nina haja nawe; Mweza yote;
Ni wako kabisa, Siku zote.
Yesu, nakuhitaji,
Vivyo kila saa!
Niwezeshe,
Mwokozi,
Nakujia.
Yesu, nakuhitaji,
Vivyo kila saa!
Niwezeshe,
Mwokozi,
Nakujia.
Yesu, nakuhitaji,
Vivyo kila saa!
Niwezeshe,
Mwokozi,
Nakujia.
Yesu, nakuhitaji,
Vivyo kila saa!
Niwezeshe,
Mwokozi,
Nakujia.
Niwezeshe, Niwezeshe baba,
Niwezeshe, Niwezeshe baba,
Niwezeshe, Niwezeshe baba,
Niwezeshe, Niwezeshe baba,
No comments yet